27 Msishughulikie chakula kiharibikacho, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele, ambacho Mwana wa Adamu atawapa. Yeye ndiye ambaye Mungu Baba6:27 Jina Baba linaonesha uhusiano maalum wa Isa na Mwenyezi Mungu. Mwenyezi amemtia muhuri."
Publicidade