15 Ninyi mnahukumu kwa kufuata vipimo vya kibinadamu; mimi simhukumu mtu yeyote. 16 Lakini hata nikihukumu, uamuzi wangu ni sahihi kwa sababu sitoi hukumu yangu peke yangu, bali niko pamoja na Baba8:16 Jina Baba linaonesha uhusiano maalum wa Isa na Mwenyezi Mungu., aliyenituma.
Publicidade