Pular para o conteúdo
Publicidade

Waamuzi 13

23 Lakini mkewe akamwambia, "Ikiwa Mwenyezi Mungu alikuwa amekusudia kutuua, hangepokea sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya unga kutoka mikononi mwetu, wala hangetuonesha mambo haya yote wala kututangazia mambo haya wakati huu."

Veja também