22 Walipozipiga zile tarumbeta mia tatu, Mwenyezi Mungu akafanya watu katika kambi yote kugeukiana kila mmoja na mwenziwe kwa upanga. Jeshi likakimbia hadi Beth-Shita kuelekea Serera7:22 au Seretha, hadi mpakani mwa Abel-Mehola karibu na Tabathi.
22 Walipozipiga zile tarumbeta mia tatu, Mwenyezi Mungu akafanya watu katika kambi yote kugeukiana kila mmoja na mwenziwe kwa upanga. Jeshi likakimbia hadi Beth-Shita kuelekea Serera7:22 au Seretha, hadi mpakani mwa Abel-Mehola karibu na Tabathi.