Kuzaliwa kwa Isa kwatabiriwa
26 Mwezi wa sita baada ya Elizabeti kupata mimba, Mungu alimtuma malaika Jibraili aende Galilaya katika mji wa Nasiri, 27 kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu mmoja jina lake Yusufu1:27 Yusufu hakuwa baba mzazi wa Isa, bali alikuwa baba mlezi. wa nyumba ya Daudi. Jina la huyu mwanamwali bikira ni Mariamu.