63 Akaomba wampe kibao cha kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu akaandika: "Jina lake ni Yahya." 64 Papo hapo kinywa chake kikafunguliwa na ulimi wake pia, akaanza kuongea, huku akimsifu Mungu.
Publicidade
Publicidade
63 Akaomba wampe kibao cha kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu akaandika: "Jina lake ni Yahya." 64 Papo hapo kinywa chake kikafunguliwa na ulimi wake pia, akaanza kuongea, huku akimsifu Mungu.