76 "Nawe mtoto wangu, utaitwa nabii wa Aliye Juu Sana;
kwa kuwa utamtangulia Mwenyezi Mungu
na kuandaa njia kwa ajili yake,
77 kuwajulisha watu wake wokovu
utakaopatikana kwa kusamehewa dhambi zao,
76 "Nawe mtoto wangu, utaitwa nabii wa Aliye Juu Sana;
kwa kuwa utamtangulia Mwenyezi Mungu
na kuandaa njia kwa ajili yake,
77 kuwajulisha watu wake wokovu
utakaopatikana kwa kusamehewa dhambi zao,