Pular para o conteúdo
Publicidade

Lucas 19

37 Alipokaribia mahali yanapoanzia miteremko ya Mlima wa Mizeituni, umati wote wa wafuasi wake wakaanza kumsifu Mungu kwa furaha kwa sauti kuu kwa ajili ya matendo yote ya miujiza waliyoyaona. Wakasema:

38 "Amebarikiwa mfalme ajaye kwa Jina la Mwenyezi Mungu!"

"Amani mbinguni na utukufu huko juu sana."

Veja também