37 Alipokaribia mahali yanapoanzia miteremko ya Mlima wa Mizeituni, umati wote wa wafuasi wake wakaanza kumsifu Mungu kwa furaha kwa sauti kuu kwa ajili ya matendo yote ya miujiza waliyoyaona. Wakasema:
38 "Amebarikiwa mfalme ajaye kwa Jina la Mwenyezi Mungu!"
"Amani mbinguni na utukufu huko juu sana."