13 Ghafula pakawa na jeshi kubwa la mbinguni pamoja na huyo malaika wakimsifu Mungu wakisema,
14 "Utukufu kwa Mungu juu mbinguni,
na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia."
13 Ghafula pakawa na jeshi kubwa la mbinguni pamoja na huyo malaika wakimsifu Mungu wakisema,
14 "Utukufu kwa Mungu juu mbinguni,
na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia."