Pular para o conteúdo
Publicidade

Luka 23

40 Lakini yule mhalifu mwingine akamkemea mwenzake, akasema, "Je, wewe humwogopi Mungu, wakati uko kwenye adhabu hiyo hiyo? 41 Sisi tumehukumiwa kwa haki kwa kuwa tunapata tunayostahili kwa ajili ya matendo yetu. Lakini huyu mtu hajafanya kosa lolote."

42 Kisha akasema, "Isa, unikumbuke utakapokuja katika ufalme wako."

43 Isa akamjibu, "Amin, nakuambia, leo utakuwa pamoja nami Paradiso.23:43 Paradiso maana yake bustani nzuri; hapa ni mahali zinapoenda roho za watakatifu."

Veja também