25 Isa akawaambia, "Ninyi ni wajinga kiasi gani, nanyi ni wazito mioyoni mwenu kuamini mambo yote yaliyonenwa na manabii! 26 Je, haikumpasa Al-Masihi24:26 Al-Masihi maana yake Aliyetiwa mafuta. kuteswa kwa njia hiyo na kisha aingie katika utukufu wake?" 27 Naye akianzia na Torati ya Musa na Manabii wote, akawafafanulia jinsi Maandiko yalivyosema kumhusu.
Publicidade