Pular para o conteúdo
Publicidade

Marcos 1

Isa amtakasa mtu mwenye ukoma

40 Mtu mmoja mwenye ukoma alimjia Isa, akapiga magoti, akimwomba, "Ukitaka, unaweza kunitakasa."

41 Isa, akiwa amejawa na huruma, akaunyoosha mkono wake akamgusa, akamwambia, "Nataka. Takasika!" 42 Mara ukoma ukamtoka, naye akatakasika.

Veja também