Pular para o conteúdo
Publicidade

Marcos 3

28 Amin, nawaambia, watu wataweza kusamehewa dhambi na kufuru zao zote; 29 lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu wa Mungu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele."

30 Isa alisema hivi kwa sababu walikuwa wanasema, "Ana pepo mchafu."

Veja também