28 Amin, nawaambia, watu wataweza kusamehewa dhambi na kufuru zao zote; 29 lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu wa Mungu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele."
30 Isa alisema hivi kwa sababu walikuwa wanasema, "Ana pepo mchafu."