3 Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu? Na ndugu zake si Yakobo, Yose6:3 yaani Yusufu, Yuda na Simoni? Dada zake wote si tuko nao hapa kwetu?" Nao wakachukizwa sana kwa ajili yake, wakakataa kumwamini.
3 Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu? Na ndugu zake si Yakobo, Yose6:3 yaani Yusufu, Yuda na Simoni? Dada zake wote si tuko nao hapa kwetu?" Nao wakachukizwa sana kwa ajili yake, wakakataa kumwamini.