36 Kisha akamchukua mtoto mdogo, akamsimamisha katikati yao. Akamkumbatia, akawaambia, 37 "Mtu yeyote amkaribishaye mmoja wa hawa watoto wadogo kwa Jina langu, anikaribisha mimi. Naye anikaribishaye mimi, amkaribisha Baba9:37 Jina Baba linaonesha uhusiano maalum wa Isa na Mwenyezi Mungu. yangu aliyenituma."
Publicidade