Pular para o conteúdo
Publicidade

Mateus 1

Kumbukumbu za ukoo wa Isa Al-Masihi

1 Habari za ukoo wa Isa Al-Masihi mwana wa Daudi1:1 Mariamu, mamake Isa, na pia Yusufu, baba mlezi wa Isa, walitokea ukoo wa Mfalme Daudi. Ina maana kwamba Isa ni mrithi wa kiti cha enzi cha Mwenyezi Mungu (Zaburi 89:3-4)., mwana wa Ibrahimu:

17 Hivyo, kulikuwa na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Ibrahimu hadi Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho wa Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho wa Babeli hadi Al-Masihi.

Veja também