Pular para o conteúdo
Publicidade

Mateus 10

2 Haya ndiyo majina ya hao mitume kumi na wawili:

wa kwanza, Simoni aitwaye Petro, na Andrea nduguye;

Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye;

3 Filipo, na Bartholomayo;

Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru;

Yakobo mwana wa Alfayo, na Thadayo;

4 Simoni Mkananayo10:4 yaani Mzelote; Wazelote walikuwa kikundi cha Kiyahudi wenye imani kali waliompinga Kaisari na utawala wa Rumi., na Yuda Iskariote aliyemsaliti Isa.

Veja também