Hakuna amjuaye Baba ila Mwana
25 Wakati huo Isa alisema, "Nakuhimidi Baba11:25 Jina Baba linaonesha uhusiano maalum wa Isa na Mwenyezi Mungu., Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu, nawe ukawafunulia watoto wadogo.