Pular para o conteúdo
Publicidade

Mathayo 11

Isa awaita waliolemewa na mizigo

28 "Njooni kwangu, ninyi nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. 29 Jifungeni nira yangu, mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha katika nafsi zenu. 30 Kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi."

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também