Pular para o conteúdo
Publicidade

Mateus 13

13 Hii ndiyo sababu nasema nao kwa mifano:

"Ingawa wanatazama, hawaoni;

wanasikiliza, lakini hawasikii, wala hawaelewi.

14 Kwao unatimia ule unabii wa Isaya aliposema:

" Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa;

na pia mtatazama lakini hamtaona.

15 Kwa kuwa mioyo ya watu hawa imekuwa migumu;

hawasikii kwa masikio yao,

na wamefumba macho yao.

Wasije wakaona kwa macho yao,

na wakasikiliza kwa masikio yao,

wakaelewa kwa mioyo yao,

na kugeuka nami nikawaponya.

Veja também