15 Lakini viongozi wa makuhani na walimu wa Torati walipoona mambo ya ajabu aliyofanya, na kuwasikia watoto wakishangilia katika eneo la Hekalu, wakisema, "Hosana Mwana wa Daudi," walikasirika.
16 Wakamuuliza Isa, "Je, unasikia hayo hawa wanayosema?"
Akawajibu, "Naam; kwani hamkusoma,
" ‘Midomoni mwa watoto wachanga na wanaonyonya
umeamuru sifa’?"