Pular para o conteúdo
Publicidade

Mateus 24

Kuja kwa Mwana wa Adamu

29 "Mara baada ya dhiki ya siku zile,

" jua litatiwa giza,

nao mwezi hautatoa nuru yake;

nazo nyota zitaanguka kutoka angani,

na nguvu za anga zitatikisika.

Veja também