Isa atabiri kuwa Petro atamkana
31 Kisha Isa akawaambia, "Usiku huu, ninyi nyote mtaniacha, kwa maana imeandikwa:
" ‘Nitampiga mchungaji,
nao kondoo wa hilo kundi watatawanyika.’
31 Kisha Isa akawaambia, "Usiku huu, ninyi nyote mtaniacha, kwa maana imeandikwa:
" ‘Nitampiga mchungaji,
nao kondoo wa hilo kundi watatawanyika.’