Kutumikia Mwenyezi Mungu na mali
24 "Hakuna mtu awezaye kuwatumikia mabwana wawili. Kwa kuwa atamchukia huyu na kumpenda yule mwingine, au atashikamana sana na huyu na kumdharau yule mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu pamoja na Mali6:24 au Utajiri; yaani Mamoni kwa Kiaramu au Mamona kwa Kiyunani.