Msiwe na wasiwasi
25 "Kwa hiyo nawaambia, msisumbukie maisha yenu kwamba mtakula nini au mtakunywa nini; au msumbukie miili yenu kwamba mtavaa nini. Je, maisha si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi?
33 Lakini utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake, na haya yote atawapa pia.