Publicidade

Mateus 6

9 "Hivi ndivyo mnavyopaswa kuomba:

" Baba yetu uliye mbinguni,

Jina lako litukuzwe.

10 Ufalme wako uje.

Mapenzi yako yafanyike

hapa duniani kama huko mbinguni.

11 Utupatie riziki yetu

ya kila siku.

12 Utusamehe deni zetu,

kama sisi nasi tulivyokwisha

kuwasamehe wadeni wetu.

13 Usitutie majaribuni,

bali utuokoe kutoka kwa yule mwovu

[kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu,

na utukufu, hata milele. Amen]6:13 Maandiko mengine ya kale hayana maneno haya..

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-