Pular para o conteúdo
Publicidade

Romanos 12

19 Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: "Ni juu yangu kulipiza kisasi, nitalipiza," asema Mwenyezi Mungu. 20 Badala yake:

"Kama adui yako ana njaa, mlishe;

kama ana kiu, mpe kinywaji.

Kwa kufanya hivyo,

unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake."

21 Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.

Veja também