Publicidade

Romanos 14

10 Basi kwa nini wewe wamhukumu ndugu yako? Au kwa nini wewe unamdharau ndugu yako? Kwa kuwa sote tutasimama mbele ya kiti cha Mungu cha hukumu. 11 Kwa kuwa imeandikwa:

" Kama vile niishivyo,asema Mwenyezi Mungu,

kila goti litapigwa mbele zangu,

na kila ulimi utakiri kwa Mungu.’ "

12 Hivyo basi kila mmoja wetu atatoa habari zake mwenyewe kwa Mungu.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-