20 Mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa hamtawaliwi na haki. 22 Lakini sasa kwa kuwa mmewekwa huru mbali na dhambi na mmekuwa watumwa wa Mungu, faida mnayopata ni utakatifu, ambao mwisho wake ni uzima wa milele.
20 Mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa hamtawaliwi na haki. 22 Lakini sasa kwa kuwa mmewekwa huru mbali na dhambi na mmekuwa watumwa wa Mungu, faida mnayopata ni utakatifu, ambao mwisho wake ni uzima wa milele.