Maisha katika Roho wa Mungu
1 Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu ya adhabu kwa wale walio ndani ya Al-Masihi Isa8:1 Maandiko mengine huongeza maneno ya ms 4 Isa, ambao hawaenendi kwa kuufuata mwili bali kwa kufuata Roho wa Mungu.. 2 Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima katika Al-Masihi Isa imeniweka huru mbali na sheria ya dhambi na mauti.