20 Naye Naomi akamwambia mkwewe, "Mwenyezi Mungu ambariki! Hakuacha kuonesha fadhili zake kwa walio hai na kwa waliokufa." Pia akamwambia, "Huyo mtu ni mmoja wa jamaa yetu wa karibu anayestahili kutukomboa."
20 Naye Naomi akamwambia mkwewe, "Mwenyezi Mungu ambariki! Hakuacha kuonesha fadhili zake kwa walio hai na kwa waliokufa." Pia akamwambia, "Huyo mtu ni mmoja wa jamaa yetu wa karibu anayestahili kutukomboa."