12 Nikawaambia, "Mkiona kuwa ni vyema, nipeni ujira wangu, la sivyo, basi msinipe." Kwa hiyo wakanilipa vipande thelathini vya fedha.
13 Naye Mwenyezi Mungu akaniambia, "Mtupie mfinyanzi," hiyo bei nzuri waliyonithaminia! Kwa hiyo nikachukua hivyo vipande thelathini vya fedha na kumtupia huyo mfinyanzi katika nyumba ya Mwenyezi Mungu.