22 Zab 50:8,9;Mit 21:3;Isa 1:11;Yer 7:22;Amo 5:21,24;Mik 6:6;Mt 9:13;12:7;Ebr 10:6;Kut 19:5;Mhu 5:1;Yer 7:23;Hos 6:6;Mt 5:24;9:13;Mk 12:33Naye Samweli akasema,
Je! BWANA huzipenda sadaka za kuteketezwa na dhabihu
Sawasawa na kuitii sauti ya BWANA?
Angalia, kutii ni bora kuliko dhabihu,
Na kusikiza ushauri kuliko mafuta ya beberu.