37 1 Sam 7:12;Zab 18:16,17;138:3;2 Kor 1:10;2 Tim 4:17,18;1 Sam 20:13;1 Nya 22:11,16Daudi akasema, BWANA aliyeniokoa na makucha ya simba, na makucha ya dubu, ataniokoa na mkono wa Mfilisti huyu. Sauli akamwambia Daudi, Nenda, na BWANA atakuwa pamoja nawe.