Publicidade

1 Tessalonicenses 4

3 1 The 5:23;Ebr 10:10;1 Pet 1:16Maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kutakaswa kwenu, mwepukane na uasherati; 4 1 Kor 6:13,15kila mmoja wenu ajue kuuweza mwili wake katika utakatifu na heshima; 5 Yer 10:25;Zab 79:6si katika hali ya tamaa mbaya, kama Mataifa wasiomjua Mungu. 6 Zab 94:2Mtu asimpunje ndugu yake wala kumkosea katika jambo hili; kwa sababu Bwana ndiye alipizaye kisasi cha haya yote; kama tulivyowaambia kwanza, tukashuhudia sana. 7 2 The 2:13,14Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.

Veja também

1 Tessalonicenses
Ver todos os capítulos de 1 Tessalonicenses
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_12-11-46-