Publicidade

2 Coríntios 3

4 Na tumaini hilo tunalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo. 5 2 Kor 2:6Si kwamba tunatosha sisi wenyewe kufikiri kuwa neno lolote ni letu wenyewe, bali utoshelevu wetu unatoka kwa Mungu. 6 Yer 31:31;1 Kor 11:25;Rum 7:6;Yn 6:63Naye ndiye aliyetutosheleza kuwa wahudumu wa agano jipya; si wa andiko, bali wa roho; kwa maana andiko huua, bali roho huhuisha.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-