24Pilato akahukumu kwamba haja yao ifanyike.
43Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.
52mtu huyo alikwenda kwa Pilato, akataka kupewa mwili wa Yesu.
38 resultados encontrados
24Pilato akahukumu kwamba haja yao ifanyike.
43Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.
52mtu huyo alikwenda kwa Pilato, akataka kupewa mwili wa Yesu.
22Pilato akawaambia, Basi, nimtendeje Yesu aitwaye Kristo? Wakasema wote, Asulubiwe.
52makaburi yakafunuka; ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala;
58mtu huyu alimwendea Pilato akaomba apewe mwili wa Yesu. Ndipo Pilato akaamuru apewe.
23Hes 1:53 Jamaa za Wagershoni wapigavyo kambi nyuma ya maskani, upande wa magharibi.
33Katika Merari ni jamaa ya hao Wamahli, na jamaa ya Wamushi; hizo ni jamaa za Merari.
47Law 27:6;Hes 18:16;Kut 30:13;Law 27:25;Eze 45:12 utatwaa shekeli tano kwa kichwa cha kila mtu kwa hiyo shekeli ya mahali patakatifu (shekeli ni gera ishirini);
13Isa 11:9;1 Kor 2:10;1 The 4:9;Flp 4:7;Yn 6:45;14:27 Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.
16Naye akaunganya mapazia matano mbali, na mapazia sita mbali.
25Na kwa upande wa pili wa maskani upande wa kaskazini, akafanya mbao ishirini,
27Na kwa upande wa nyuma wa hiyo maskani kuelekea magharibi akafanya mbao sita.
16Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,
19au mtu aliyevunjika mguu, au aliyevunjika mkono,
1Basi hata agano la kwanza lilikuwa na kawaida za ibada, na patakatifu pake, pa kidunia.
3Kut 26:31-33 Na nyuma ya pazia la pili, ile hema iitwayo Patakatifu pa patakatifu,
20Mt 26:28 akisema, Hii ni damu ya agano mliloamriwa na Mungu.
5Kut 27:21;30:7;Law 24:3;1 Nya 9:19-33 Nanyi mtahudumu katika patakatifu na huduma ya madhabahuni, isiwe ghadhabu juu ya wana wa Israeli tena.
14Law 27:28 Kila kitu kilichowekwa wakfu katika Israeli kitakuwa chako.
25Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,
5Zek 7:5 Je! Kufunga namna hii ni saumu niliyoichagua mimi? Je! Ni siku ya mtu kujitaabisha nafsi yake? Ni kuinama kichwa kama unyasi, na kutanda nguo za magunia na majivu chini yake? Je! Utasema ni siku ya kufunga, na ya kukubaliwa na BWANA?
7Mt 25:34;Zab 112:9;Mit 22:9;Mhu 11:1,2;Dan 4:27;Lk 11:41;Mwa 29:14;Neh 5:5;Mt 15:5 Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usikose kumsaidia mtu aliye jamaa yako.
9na vito vya shohamu, vito vya kutiwa kwa hiyo naivera na kwa hicho kifuko cha kifuani.
12Kut 25:10 hilo sanduku, miti yake, hicho kiti cha rehema na lile pazia la sitara;
18na vile vigingi vya maskani, vigingi vya ua na kamba zake
15Ebr 2:17;6:19;9:12 Kisha atamchinja yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya watu, na kuileta damu yake ndani ya pazia, na kwa damu hiyo atafanya kama alivyofanya kwa damu ya ng’ombe, na kuinyunyiza juu ya kiti cha rehema, na mbele ya kiti cha rehema,
25Kut 29:13;Law 4:10 Na mafuta ya sadaka ya dhambi atayateketeza juu ya madhabahu.
31Kut 31:15;35:2;Law 23:32;25:4 Ni Sabato ya raha ya makini kwenu nanyi mtajinyima; ni amri ya milele.
4nao watachipua kama nyasi, kama mierebi kandokando mwa vijito.
20Hos 4:12;Rum 1:21;2 The 2:11 Hula majivu; moyo uliodanganyika umempotosha, asiweze kuiokoa nafsi yake, wala kusema, Je! Sio uongo mkononi mwangu?
23Zab 69:34;Isa 42:10;Ufu 18:20 Imbeni, enyi mbingu, maana BWANA ametenda hayo;Pigeni kelele, enyi mabonde ya nchi;Pazeni nyimbo, enyi milima;Nawe, msitu, na kila mti ndani yake.Maana BWANA amemkomboa Yakobo,Naye atajitukuza katika Israeli.
4Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba; kisha utie pete nne za shaba katika hizo pembe nne za ule wavu.
8Kut 25:40;26:30;Ebr 8:5;Mdo 7:44 Uifanye ya mbao, yenye mvungu ndani yake; kama ulivyooneshwa mlimani, ndivyo watakavyoifanya.
13Na upana wa ule ua upande wa mashariki kuelekea mashariki utakuwa ni dhiraa hamsini.
1BWANA akanena na Musa, na kumwambia,
10vile vile kama yanavyoondolewa katika ng’ombe wa kuchinjwa kwa sadaka za amani; kisha huyo kuhani atayateketeza juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.
15Kut 29:10-19;Law 1:4;3:2;Isa 53:6;Mt 8:17;Ebr 9:28;1 Pet 2:24 Kisha wazee wa mkutano wataweka mikono yao kichwani mwake huyo ng’ombe mbele za BWANA;
9Isa 42:7;Zek 9:12 kuwaambia waliofungwa, Haya, tokeni; na hao walio katika giza, Jionesheni. Watajilisha katika njia, na juu ya majabali watapata malisho.
18Mit 17:6 Inua macho yako, ukatazame pande zote; hao wote wanajikusanya na kukujia. Kama niishivyo, asema BWANA, hakika utajivika hao wote kama pambo, nawe utajipamba kwao kama bibi arusi.
11Ufu 4:3;Isa 54:11;Yer 17:1 Na safu ya pili ilikuwa zumaridi, na yakuti samawi, na almasi.
35na sanduku la ushuhuda, na miti yake, na kiti cha rehema;
37Ufu 1:13-20;Kut 27:21;Mt 5:14;Flp 2:15 na kinara cha taa safi, na taa zake, hizo taa za kuwekwa mahali pake, na vyombo vyake vyote, na mafuta ya taa,
6Naye akaifanya hiyo miti kwa mti wa mshita na kuifunika shaba.
13Upande wa mashariki kuelekea mashariki dhiraa hamsini.
27Kut 26:19-32 Na hizo talanta mia moja za fedha zilikuwa kwa kutengenezea vile vitako vya mahali patakatifu na vitako vya hilo pazia; vitako mia moja kwa hizo talanta mia moja, talanta moja kitako kimoja.
5Na ile miti utaifanya kwa mti wa mshita, na kuifunikiza dhahabu safi.
11BWANA akanena na Musa, na kumwambia,
17BWANA akanena na Musa, na kumwambia