20Ebr 9:8 njia ile aliyotuanzia iliyo mpya, iliyo hai, ipitayo katika pazia, yaani, mwili wake;
Resultados da busca por "paz"
40 resultados encontrados
- Capítulo 10
Hebreus 10
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 20 de 39 - Capítulo 4
Números 4
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 5 de 495Kut 26:31;36:35;Law 16:2;2 Nya 3:14;Mt 27:51;Ebr 9:3;Kut 25:10,16 hapo watakapoanza safari, Haruni ataingia ndani, na wanawe, nao watalishusha pazia la sitara, na kulifunika sanduku la ushahidi4:5 Kut 25:16: Kisha tia ndani ya sanduku huo ushuhuda nitakaokupa. kwa hilo pazia;
- Capítulo 15
Marcos 15
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 34 de 4734Zab 22:1 Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
- Capítulo 23
Lucas 23
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 45 de 5645Kut 26:31-33;36:35;Amo 9:1 jua limepungua nuru yake; pazia la hekalu likapasuka katikati.
- Capítulo 3
Números 3
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 25 de 5125Hes 4:24-26;1 Nya 9:14-33;Ezr 8:28-30;Kut 25:9;26:1-36 Na kazi ya Wageruhoni katika hema ya kukutania ni hiyo ya kuhudumu katika maskani, Hema na kifuniko chake, na pazia la mlango wa hema ya kukutania,
- Capítulo 27
Mateus 27
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 46 de 6646Zab 22:2 Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
- Capítulo 54
Isaías 54
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 1 de 171Gal 4:27 Imba, wewe uliye tasa, wewe usiyezaa; paza sauti yako kwa kuimba, piga kelele, wewe usiyekuwa na uchungu; maana watoto wake aliyeachwa ni wengi kuliko watoto wake yeye aliyeolewa, asema BWANA.
- Capítulo 36
Êxodo 36
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 8 de 388Kut 26:1;Ayu 32:8;Mit 10:8;15:14;21:1;Mwa 3:24;1 Fal 6:23;2 Nya 3:10;Eze 1:5-28;10:1 Basi kila mtu mwenye moyo wa hekima miongoni mwa hao waliofanya kazi, akaifanya hiyo maskani ya mapazia kumi; ya nguo ya kitani nzuri ya kusokotwa, na nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu; pamoja na makerubi, kazi ya fundi stadi; ndivyo alivyoyafanya.
- Capítulo 16
Levítico 16
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 2 de 342Ebr 6:19;Kut 30:10;Law 23:27,28;Ebr 9:7;10:19;Kut 25:22;40:34;1 Fal 8:10-12 BWANA akamwambia Musa, Mwambie Haruni ndugu yako, kwamba asiingie wakati wowote katika mahali patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kiti cha rehema, kilicho juu ya sanduku, asije akafa; maana, mimi nitaonekana katika lile wingu juu ya kiti cha rehema.
- Capítulo 9
Hebreus 9
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 3 de 283Kut 26:31-33 Na nyuma ya pazia la pili, ile hema iitwayo Patakatifu pa patakatifu,
- Capítulo 18
Números 18
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 7 de 327Ebr 9:3,6;1 Sam 6:19 Nawe na wanao pamoja nawe mtautunza ukuhani wenu, kwa ajili ya kila kitu cha madhabahu, na kwa ajili ya vile vilivyomo ndani ya pazia, nanyi mtatumika. Nawapeni ukuhani kuwa utumishi wa kipawa; na mgeni akaribiaye atauawa.
- Capítulo 58
Isaías 58
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 1 de 141Piga kelele, usiache,Paza sauti yako kama tarumbeta;Uwahubirie watu wangu kosa lao,Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
- Capítulo 35
Êxodo 35
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 12 de 3512Kut 25:10 hilo sanduku, miti yake, hicho kiti cha rehema na lile pazia la sitara;
- Capítulo 4
Levítico 4
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 6 de 356Isa 42:21;Yn 8:29;Rum 3:24;2 Kor 5:19;Efe 2:13;Ufu 5:9 kisha kuhani atatia kidole chake katika hiyo damu na kuinyunyiza damu mbele ya BWANA mara saba, mbele ya pazia la mahali patakatifu.
- Capítulo 44
Isaías 44
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 23 de 2823Zab 69:34;Isa 42:10;Ufu 18:20 Imbeni, enyi mbingu, maana BWANA ametenda hayo;Pigeni kelele, enyi mabonde ya nchi;Pazeni nyimbo, enyi milima;Nawe, msitu, na kila mti ndani yake.Maana BWANA amemkomboa Yakobo,Naye atajitukuza katika Israeli.
- Capítulo 27
Êxodo 27
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 21 de 2121Kut 25:16;Kut 30:8;1 Sam 3:3;2 Nya 13:11;Kut 28:43;29:9;Law 3:17;16:34 Ndani ya ile hema ya kukutania, nje ya hilo pazia, lililo mbele ya huo ushuhuda, Haruni na wanawe wataitengeza tangu jioni hadi asubuhi mbele ya BWANA; itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyao vyote kwa ajili ya wana wa Israeli.
- Capítulo 49
Isaías 49
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 13 de 2613Imbeni, enyi mbingu; ufurahi, Ee nchi;Pazeni sauti ya kuimba, enyi milima;Kwa kuwa BWANA amewafariji watu wake,Naye atawahurumia watu wake walioteswa.
- Capítulo 39
Êxodo 39
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 34 de 4334na kifuniko chake cha ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na kifuniko cha ngozi za pomboo, na pazia la sitara;
- Capítulo 38
Êxodo 38
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 18 de 31182 Nya 3:14 Na hilo pazia la lango la ua, lilikuwa ni kazi ya mwenye kutia taraza, lilikuwa la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri ya kusokotwa; lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini, na kutukuka kwake katika huo upana wake kulikuwa dhiraa tano, kupatana na ile chandarua ya ua.
- Capítulo 30
Êxodo 30
Swahili Revised Union VersionMostrando versículo 6 de 386Nawe utaitia mbele ya lile pazia lililo karibu na sanduku la ushuhuda mbele ya kiti cha rehema kilicho juu ya ushuhuda, hapo nitakapokutana nawe.