5Kut 12:1-13;Kum 16:1-2;Hes 28:16;Yos 5:10 Mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi wakati wa jioni, ni Pasaka ya BWANA.
7Kut 12:16;Hes 28:18;Kum 16:1 Siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu msifanye kazi yoyote ya utumishi.
35Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu; msifanye kazi yoyote ya utumishi.