Publicidade

Resultados da busca por "paz"

38 resultados encontrados

Levítico 23 Swahili Revised Union Version
Capítulo 23
Mostrando versículos 5–35 de 44

5Kut 12:1-13;Kum 16:1-2;Hes 28:16;Yos 5:10 Mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi wakati wa jioni, ni Pasaka ya BWANA.

7Kut 12:16;Hes 28:18;Kum 16:1 Siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu msifanye kazi yoyote ya utumishi.

35Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu; msifanye kazi yoyote ya utumishi.

Isaías 40 Swahili Revised Union Version
Capítulo 40
Mostrando versículos 7–25 de 31

7Majani yakauka, ua lanyauka;Kwa sababu pumzi ya BWANA yapita juu yake.Hakika watu ni majani.

21Zab 19:1;Mdo 14:17;Rum 1:19 Je! Hamkujua? Hamkusikia? Hamkuambiwa tokea mwanzo? Hamkufahamu tangu kuwekwa misingi ya dunia?

25Kum 4:15;Isa 40:18;Mdo 17:24-29 Mtanifananisha na nani, basi, nipate kuwa sawa naye? Asema yeye aliye Mtakatifu.

Isaías 12 Swahili Revised Union Version
Capítulo 12
Mostrando versículos 3–6 de 6

3Yer 2:13;Yn 4:10,14 Basi, kwa furaha mtateka maji katika visima vya wokovu.

5Mwimbieni BWANA; kwa kuwa ametenda makuu;Na yajulikane haya katika dunia yote.

6Isa 54:1;Sef 3:14;Lk 19:37-40 Paza sauti, piga kelele, mwenyeji wa Sayuni;Maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu kati yako.

Salmos 81 Swahili Revised Union Version
Capítulo 81
Mostrando versículos 1–3 de 16

1Mwimbieni Mungu, nguvu zetu, nyimbo za furaha,Mshangilieni Mungu wa Yakobo.

2Pazeni zaburi, pigeni matari,Kinubi chenye sauti nzuri, na kinanda.

3Hes 10:10 Pigeni panda mwandamo wa mwezi,Kukiwa na mbalamwezi, wakati wa sikukuu yetu.

Oséias 5 Swahili Revised Union Version
Capítulo 5
Mostrando versículo 10 de 15

10Kum 19:14 Wakuu wa Yuda ni kama watu waondoao alama ya mpaka; nitawamwagia ghadhabu yangu kama maji.

Oséias 9 Swahili Revised Union Version
Capítulo 9
Mostrando versículos 2–14 de 17

2Sakafu na shinikizo hazitawalisha, na divai mpya itampungukia.

14Lk 23:29 Wape, Ee BWANA; utawapa kitu gani? Wape tumbo lenye kuharibu mimba na maziwa makavu.

Tiago 2 Swahili Revised Union Version
Capítulo 2
Mostrando versículos 7–24 de 26

7Hawalitukani jina lile zuri mliloitwa?

19Mk 5:7 Wewe waamini ya kuwa Mungu ni mmoja; watenda vema. Mashetani nao waamini na kutetemeka.

24Yn 8:39;Rum 4:12 Mwaona kwamba mwanadamu huhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo yake; si kwa imani peke yake.

Gálatas 4 Swahili Revised Union Version
Capítulo 4
Mostrando versículos 5–23 de 31

5Rum 8:15-17 kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana. Gal 3:13,26

21Gal 3:23 Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je! Hamwisikii sheria?

23Rum 9:7-9;Mwa 17:16 Lakini yule wa mjakazi alizaliwa kwa mwili, yule wa mwanamke huru kwa ahadi.

Êxodo 26 Swahili Revised Union Version
Capítulo 26
Mostrando versículos 10–20 de 37

10Fanya tanzi hamsini upande wa mwisho wa pazia lile lililo la mwisho katika hayo yaliyounganywa pamoja, na tanzi hamsini upande wa mwisho wa lile pazia lililo nje katika hayo ya pili yaliyounganywa pamoja.

15Nawe fanya hizo mbao za maskani za mti wa mjohoro, zenye kusimama.

20na upande wa pili wa maskani, upande wa kaskazini, mbao ishirini;

Êxodo 40 Swahili Revised Union Version
Capítulo 40
Mostrando versículos 2–28 de 38

2Kut 12:2;13:4;25:9;26:1,30;Hes 7:1;Mdo 7:44,45;Ebr 8:2-5;9:2,11;Ufu 21:3 Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza utaisimamisha hiyo maskani ya hema ya kukutania.

26Kut 30:6 Akaitia madhabahu ya dhahabu ndani ya hema ya kukutania mbele ya pazia.

28Kut 26:36 Akalitia pazia la mlango wa maskani.

2 Reis 2 Swahili Revised Union Version
Capítulo 2
Mostrando versículos 20–23 de 25

20Akasema, Nileteeni chombo kipya, mtie chumvi ndani yake. Wakamletea.

22Hivyo yale maji yakapona hata leo, sawasawa na neno la Elisha alilolinena.

232 Nya 36:16;Zab 31:17,18;94:21-23;Mit 13:13;Isa 5:24;Yer 5:10-14;Lk 10:16;1 The 4:8;5:20;2 Tim 3:3;Yud 1:14-18 Akakwea kutoka huko mpaka Betheli; naye alipokuwa akienda njiani, wakatoka vijana katika mji, wakamfanyizia mzaha, wakamwambia, Paa wewe mwenye upaa! Paa wewe mwenye upaa!

Hebreus 6 Swahili Revised Union Version
Capítulo 6
Mostrando versículos 5–19 de 20

51 Pet 2:3 na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za wakati ujao,

15Na hivyo kwa kuvumilia akaipata ile ahadi.

19Law 16:2,12 tuliyo nayo kama nanga ya roho, yenye salama, yenye nguvu, yaingiayo hata mle mlimo ndani ya pazia,

Ester 2 Swahili Revised Union Version
Capítulo 2
Mostrando versículo 5 de 23

5Basi palikuwa na Myahudi mmoja huko Susa, mji mkuu; jina lake Mordekai, mwana wa Yairi, mwana wa Shimei, mwana wa Kishi, wa kabila la Benyamini;

Gênesis 47 Swahili Revised Union Version
Capítulo 47
Mostrando versículos 8–31 de 31

8Farao akamwuliza Yakobo, Je! Siku za kuishi kwako ni ngapi?

19Kwa nini tufe mbele ya macho yako, sisi na nchi yetu? Utununue sisi na nchi yetu kwa chakula, na sisi na nchi yetu tutakuwa watumwa wa Farao; kisha utupe mbegu, tuishi wala tusife, wala nchi yetu isipotee.

31Mwa 48:2;1 Fal 1:47;Ebr 11:21 Akanena, Niapie. Naye akamwapia. Israeli akajiinamisha kwenye mchago wa kitanda.

Salmos 104 Swahili Revised Union Version
Capítulo 104
Mostrando versículos 2–35 de 35

2Umejivika nuru kama vazi;Umezitandika mbingu kama pazia;

24Mwa 1:20-22 Ee BWANA, jinsi yalivyo mengi matendo yako!Kwa hekima umevifanya vyote pia.Dunia imejaa viumbe wako.

35Mit 2:22 Wenye dhambi waangamizwe katika nchi,Watendao ubaya wasiwepo tena.Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA.

2 Crônicas 3 Swahili Revised Union Version
Capítulo 3
Mostrando versículos 2–14 de 17

2Akaanza kujenga siku ya pili ya mwezi wa pili katika mwaka wa nne wa kutawala kwake.

6Akaipamba nyumba kwa vito iwe na uzuri; nayo dhahabu ilikuwa dhahabu ya Parvaimu.

14Kut 26:31;Mt 27:51;Ebr 9:3 Akalifanya pazia la samawati na urujuani na nyekundu, na kitani safi, akaitengeneza makerubi.

Levítico 24 Swahili Revised Union Version
Capítulo 24
Mostrando versículos 4–18 de 23

4Kut 31:8;37:17-24 Atazitengeneza hizo taa katika kile kinara kilicho safi mbele za BWANA daima.

17Kut 21:12;Mwa 9:6;Hes 35:31;Kum 19:11;Mt 26:52;Ufu 13:10 Na mtu ampigaye mtu hadi akafa, lazima atauawa;

18na atakayempiga mnyama hadi akafa atalipa; uhai kwa uhai.

Hebreus 10 Swahili Revised Union Version
Capítulo 10
Mostrando versículos 6–20 de 39

6Sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi hukupendezwa nazo;

10Ebr 9:12,28 Katika mapenzi hayo mmepata utakaso, kwa kutolewa mwili wa Yesu Kristo mara moja tu.

20Ebr 9:8 njia ile aliyotuanzia iliyo mpya, iliyo hai, ipitayo katika pazia, yaani, mwili wake;

Números 4 Swahili Revised Union Version
Capítulo 4
Mostrando versículos 24–44 de 49

24Huu ni utumishi wa jamaa za Wagershoni, katika kutumika na katika kuchukua mizigo;

39kuanzia wenye umri wa miaka thelathini na zaidi, hadi umri wa miaka hamsini, kila mtu aliyeingia katika utumishi, kwa kazi katika hema ya kukutania,

44wale waliohesabiwa kwao, kwa jamaa zao, walikuwa elfu tatu na mia mbili.

Marcos 15 Swahili Revised Union Version
Capítulo 15
Mostrando versículos 18–38 de 47

18wakaanza kumsalimu, Salamu, Mfalme wa Wayahudi!

30jiponye nafsi yako, ushuke msalabani.

38Kut 26:31-33 Pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hadi chini.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-