Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

107 resultados encontrados

  1. Isaías 55

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 55
    Mostrando versículo 1 de 13

    1Yn 4:14;7:37;1 Kor 1:22;Mt 13:44;Ufu 21:6;3:18;22:17 Haya, kila aonaye kiu, njoni majini,Naye asiye na fedha; njoni, nunueni mle;Naam, njoni, nunueni divai na maziwa,Bila fedha na bila gharama.

  2. Ester 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículo 9 de 15

    9Basi, mfalme akiona vema, na iandikwe kwamba waangamizwe; nami nitalipa talanta elfu kumi za fedha mikononi mwa watakaosimamia shughuli hiyo, waziweke katika hazina ya mfalme.

  3. Esdras 7

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 7
    Mostrando versículo 15 de 28

    152 Nya 6:2;Zab 135:21 na kuichukua fedha na dhahabu, ambayo mfalme, na washauri wake, kwa hiari yao, wamemtolea Mungu wa Israeli, akaaye Yerusalemu;

  4. Lucas 19

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 19
    Mostrando versículo 10 de 48

    10Mt 18:11;Eze 34:16;Yn 3:17;Lk 5:32;1 Tim 1:15 Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.

  5. Amós 8

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 8
    Mostrando versículo 6 de 14

    6tupate kuwanunua maskini kwa fedha, na wahitaji kwa jozi ya viatu; na kuziuza takataka za ngano.

  6. Josué 7

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 7
    Mostrando versículo 21 de 26

    21Kut 20:17;1 Fal 21:1;2 Fal 5:20-27;Mit 15:27;Hab 2:9;Lk 12:15;Rum 7:7,8;Efe 5:5;1 Tim 6:10 Nilipoona katika nyara joho zuri ya Babeli, na shekeli mia mbili za fedha, na kabari ya dhahabu, uzani wake shekeli hamsini, basi nilivitamani nikavitwaa; tazama, vimefichwa mchangani katikati ya hema yangu, na ile fedha chini yake.

  7. Gênesis 23

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 23
    Mostrando versículo 15 de 20

    15Kut 30:13;Eze 45:12 Bwana wangu, unisikilize. Sehemu ya nchi, ambayo thamani yake ni shekeli za fedha mia nne, ni nini hii baina yako na yangu? Basi uzike maiti wako.

  8. Atos 26

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 26
    Mostrando versículo 18 de 32

    18Kum 33:3;Isa 35:5;42:7,16;Mdo 20:32;Efe 2:2;Kol 1:13 uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.

  9. Êxodo 38

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 38
    Mostrando versículo 10 de 31

    10nguzo zake zilikuwa ishirini, na vitako vyake vilikuwa ishirini, vilikuwa vya shaba; kulabu za nguzo na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha.

  10. Cânticos 1

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 1
    Mostrando versículo 4 de 17

    4Yer 31:3;Hos 11:4;Yn 6:44;Flp 3:12;Zab 45:14;Yn 14:2;Efe 2:6 Nivute nyuma yako, na tukimbie;Mfalme ameniingiza vyumbani mwake.Tutafurahi na kukushangilia;Tutalinena pendo lako kuliko divai;Ndiyo, ina haki wakupende.

  11. Provérbios 13

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 13
    Mostrando versículo 18 de 25

    18Mit 15:5 Umaskini na fedheha zitampata yeye akataaye kurudiwa;Bali yeye aangaliaye maonyo ataheshimiwa.

  12. Salmos 109

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 109
    Mostrando versículo 29 de 31

    29Washitaki wangu watavikwa fedheha,Na wavikwe aibu yao kama joho.

  13. 2 Crônicas 1

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 1
    Mostrando versículo 12 de 17

    12Zab 34:9,10;Mt 6:33;Efe 3:20;1 Nya 29:25;2 Nya 9:22;Mhu 2:9 basi hekima na maarifa umepewa; nami nitakupa mali, na utajiri, na utukufu, kupita walivyokuwa navyo wafalme wote waliokuwa kabla yako, wala baada yako hapatakuwa na mtu atakayekuwa navyo.

  14. Jó 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículo 15 de 26

    15Au pamoja na wakuu wenye dhahabu,Waliozijaza nyumba zao fedha;

  15. 1 Crônicas 29

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 29
    Mostrando versículo 2 de 30

    2Kut 28:9;Isa 54:11,12;Ufu 21:18 Basi kwa uwezo wangu wote nimeiwekea akiba nyumba ya Mungu wangu, dhahabu kwa vitu vya dhahabu, na fedha kwa vitu vya fedha, na shaba kwa vitu vya shaba, na chuma kwa vitu vya chuma, na miti kwa vitu vya miti; vito vya shohamu, na vya kujazia, vito vya njumu, na vya rangi mbalimbali, na mawe ya thamani ya kila namna, na marumaru tele.

  16. Eclesiastes 10

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 10
    Mostrando versículo 19 de 20

    19Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,Na divai huyafurahisha maisha; Na fedha huleta jawabu la mambo yote.

  17. Oséias 13

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 13
    Mostrando versículo 2 de 16

    2Na sasa wanazidi kufanya dhambi, nao wamejifanyia sanamu kwa fedha yao, naam, sanamu kwa kadiri ya akili zao; zote pia ni kazi ya mafundi; nao huzitaja hivi, Wanaume watoao dhabihu na wazibusu ndama.

  18. 2 Reis 5

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 5
    Mostrando versículo 5 de 27

    51 Sam 9:8;2 Fal 8:8,9 Mfalme wa Shamu akasema, Haya! Basi, mimi nitampelekea mfalme wa Israeli waraka. Basi akaenda zake, akachukua mikononi mwake talanta kumi za fedha, na vipande vya dhahabu elfu sita, na mavazi kumi.

  19. Zacarias 6

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 6
    Mostrando versículo 11 de 15

    11Kut 28:36 naam, pokea fedha na dhahabu, ukatengeneze taji, ukamvike kichwani Yoshua, mwana wa Yehosadaki, kuhani mkuu;

  20. Esdras 8

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 8
    Mostrando versículo 13 de 36

    13Na wa wana wa Adonikamu, hawa waliokuwa wa mwisho, na hayo ndiyo majina yao, Elifeleti, na Yeueli, na Shemaya; na pamoja nao wanaume sitini.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo