4Kama ni mwanamke, hesabu yako itakuwa shekeli thelathini.
26Kut 13:2,12;22:30;Hes 18:17;Kum 15:19 Mzaliwa wa kwanza tu katika wanyama, aliyewekwa kuwa mzaliwa wa kwanza kwa BWANA, mtu yeyote hatamweka kuwa mtakatifu; kama ni ng’ombe, kama ni kondoo, huyo ni wa BWANA.
32Yer 33:13;Eze 20:37;Mik 7:14 Tena zaka yote ya ng’ombe, au ya kondoo, kila apitaye chini ya fimbo; sehemu ya kumi watakuwa ni watakatifu kwa BWANA.