Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

118 resultados encontrados

  1. Levítico 27

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 4–32 de 34

    4Kama ni mwanamke, hesabu yako itakuwa shekeli thelathini.

    26Kut 13:2,12;22:30;Hes 18:17;Kum 15:19 Mzaliwa wa kwanza tu katika wanyama, aliyewekwa kuwa mzaliwa wa kwanza kwa BWANA, mtu yeyote hatamweka kuwa mtakatifu; kama ni ng’ombe, kama ni kondoo, huyo ni wa BWANA.

    32Yer 33:13;Eze 20:37;Mik 7:14 Tena zaka yote ya ng’ombe, au ya kondoo, kila apitaye chini ya fimbo; sehemu ya kumi watakuwa ni watakatifu kwa BWANA.

  2. 2 Samuel 8

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 12–16 de 18

    12za Edomu, na za Moabu, na za wana wa Amoni, na za Wafilisti, na za Amaleki, na za nyara za Hadadezeri, mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.

    162 Sam 19:13;1 Fal 4:3 Huyo Yoabu, mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa majeshi; na Yehoshafati, mwana wa Ahiludi, mwekaji kumbukumbu;8:16 Katika Kiebrania ni mwenye kuandika tarehe.

  3. 1 Reis 10

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 8–27 de 29

    8Mit 8:34 Heri watu wako, na heri watumishi hawa wako, wasimamao mbele yako siku zote, wakisikia hekima yako.

    182 Nya 9:17;Ebr 1:3,8;Ufu 20:11 Tena mfalme akafanya kiti cha enzi kikubwa cha pembe, akakifunikiza kwa dhahabu iliyo safi.

    272 Nya 1:15 Mfalme akafanya fedha humo Yerusalemu kuwa kama mawe, na mierezi akaifinya kuwa kama mikuyu iliyomo Shefela, kwa kuwa mingi.

  4. Ezequiel 22

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 1–23 de 31

    1Neno la BWANA likanijia tena, kusema,

    17Neno la BWANA likanijia, kusema,

    23Neno la BWANA likanijia, kusema,

  5. Eclesiastes 5

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 10–20 de 20

    10Apendaye fedha hatashiba fedha,Wala apendaye wingi hatashiba nyongeza.Hayo pia ni ubatili.

    17Zab 127:2 Siku zake zote hula gizani, mwenye fadhaa nyingi, mwenye ugonjwa na uchungu.

    20Kut 23:25 Kwa kuwa mtu hatazikumbuka mno siku za maisha yake; kwa sababu Mungu humtakabali katika furaha ya moyo wake.

  6. Naum 2

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 6–9 de 13

    6Malango ya mito yamefunguka, na jumba la mfalme limeyeyushwa.

    9Chukueni nyara za fedha;Chukueni nyara za dhahabu;Kwa maana ni akiba isiyoisha,Fahari ya vyombo vipendezavyo.

  7. Deuteronômio 14

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 14
    Mostrando versículos 13–17 de 29

    13na kengewa, na kozi, na mwewe kwa aina zake;

    16na bundi, na mumbi, na bundi mkubwa;

    17na mwari, na nderi, na mnandi;

  8. Sofonias 1

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 1–16 de 18

    12 Tim 3:16;2 Pet 1:21; 2 Fal 22:1—23:30; 2 Nya 34:1—35:27 Neno la BWANA lililomjia Sefania, mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia; katika siku za Yosia, mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda.

    15Siku ile ni siku ya ghadhabu,Siku ya fadhaa na dhiki,Siku ya uharibifu na ukiwa,Siku ya giza na utusitusi,Siku ya mawingu na giza kuu,

    16Yer 4:19;8:16;Hos 5:8;Amo 3:6 Siku ya tarumbeta na ya kamsa,Juu ya miji yenye maboma,Na juu ya minara mirefu.

  9. Isaías 55

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 55
    Mostrando versículos 2–6 de 13

    2Kwa nini mtoe fedha kwa ajili ya kitu ambacho si chakula?Na mapato yenu kwa kitu kisichoshibisha?Nisikilizeni kwa bidii, mle kilicho chema,Na kujifurahisha nafsi zenu kwa unono.

    4Mal 3:5;1 Tim 6:13;Ufu 1:5;Eze 34:23;Dan 9:25;Ebr 2:10 Angalieni, nimemweka kuwa shahidi kwa makabila ya watu; kuwa kiongozi na jemadari kwa makabila ya watu.

    6Zab 32:6;Amo 5:4,14;Mt 5:25;Yn 7:34;2 Kor 6:2;Ebr 3:13 Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana,Mwiteni, maadamu yuko karibu;

  10. Ester 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículo 14 de 15

    14Est 8:13,14 Nakala ya andiko hilo ilitakiwa kutolewa katika kila mkoa, ili kuwaarifu watu wote wajiandae kwa ajili ya siku hiyo.

  11. Jeremias 51

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 51
    Mostrando versículos 23–63 de 64

    23na kwa wewe nitamvunjavunja mchungaji na kundi lake; na kwa wewe nitamvunjavunja mkulima na jozi yake ya ng’ombe; na kwa wewe nitawavunjavunja watawala na makamanda.

    40Nitawateremsha kama wana-kondoo machinjoni, kama kondoo dume pamoja na mabeberu.

    63Ufu 18:21 Tena itakuwa utakapokwisha kukisoma kitabu hicho, utakifungia jiwe, na kukitupa katika mto Frati;

  12. Lucas 19

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 19
    Mostrando versículos 32–46 de 48

    32Na wale waliotumwa wakaenda wakaona kama alivyowaambia.

    34Wakasema, Bwana anamhitaji.

    46Isa 56:7;Yer 7:11 akiwaambia, Imeandikwa, Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala; lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.

  13. Amós 8

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 1–13 de 14

    1Haya ndiyo aliyonionesha Bwana MUNGU; tazama, kikapu cha matunda ya wakati wa joto.

    5Neh 13:15;Mik 6:10 mkisema, Mwezi mpya utaondoka lini, tupate kuuza nafaka? Na sabato nayo, tupate kuandaa ngano? Mkiipunguza efa na kuiongeza shekeli, mkidanganya watu kwa mizani ya udanganyifu;

    13Siku hiyo wanawali wazuri na wavulana watazimia kwa kiu.

  14. Josué 7

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 7–10 de 26

    7Kut 5:22;2 Fal 3:10 Yoshua akasema, Ee Bwana MUNGU, kwa nini umewavusha watu hawa mto wa Yordani, ili kututia katika mikono ya Waamori, na kutuangamiza? Laiti tu, tungaliridhika kukaa ng’ambo ya Yordani

    9Zab 83:4;Kut 32:12;Hes 14:13 Maana Wakanaani na wenyeji wote wa nchi hii watasikia habari hii, nao watatuzingira, na kulifuta jina letu katika nchi. Nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?

    10BWANA akamwambia Yoshua, Haya! Inuka, mbona umeanguka kifudifudi hivi?

  15. Gênesis 17

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 17
    Mostrando versículos 3–17 de 27

    3Kut 3:6 Abramu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia,

    4Hili ndilo agano langu nawe, utakuwa baba wa mataifa mengi,

    17Mwa 18:12;21:6,7 Ndipo Abrahamu akaanguka kifudifudi akacheka, akasema moyoni, Je! Mtu wa umri wa miaka mia moja, kwake atazaliwa mtoto? Naye Sara mwenye umri wa miaka tisini atazaa?

  16. Atos 26

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 26
    Mostrando versículos 7–27 de 32

    7Mdo 24:15 ambayo kabila zetu kumi na mbili wanataraji kuifikia, wakimwabudu Mungu kwa bidii mchana na usiku. Nami ninashitakiwa na Wayahudi kwa ajili ya tumaini hilo, Ee Mfalme.

    8Kwa nini limedhaniwa kwenu kuwa ni neno lisiloaminika, kwamba Mungu awafufua wafu?

    27Mfalme Agripa, je! Wawaamini manabii? Najua ya kuwa wawaamini.

  17. Êxodo 38

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 38
    Mostrando versículos 13–29 de 31

    13Upande wa mashariki kuelekea mashariki dhiraa hamsini.

    26Mt 17:24;Kut 30:13,15;Hes 1:46 kichwa beka, maana, nusu shekeli, kwa kadiri ya shekeli ya mahali patakatifu, kwa ajili ya kila mtu aliyepita kwa wale waliohesabiwa, aliyekuwa wa umri wa miaka ishirini au zaidi, kwa ajili ya wanaume elfu mia sita na tatu mia tano na hamsini (603,550).

    29Na hiyo shaba iliyoletwa ilikuwa ni talanta sabini, na shekeli elfu mbili na mia nne.

  18. Provérbios 13

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 12–17 de 25

    12Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua.Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima.

    14Mit 16:22;15:24;2 Sam 22:6;Zab 116:3 Sheria ya mwenye akili ni chemchemi ya uzima,Ili kuepukana na tanzi za mauti.

    17Mjumbe mbaya huanguka maovuni;Bali mjumbe mwaminifu ni afya.

  19. Cânticos 1

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 2–14 de 17

    2Kubusu na anibusu kwa kinywa chake.Maana pendo lako lapita divai;

    9Wim 2:2;2 Nya 1:16 Mpenzi wangu, nimekulinganishaNa farasi katika magari ya Farao.

    14Mpendwa wangu ni kama kishada cha hina,Katika mizabibu huko Engedi.

  20. 1 Crônicas 28

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 28
    Mostrando versículos 10–16 de 21

    101 Nya 22:16;Mit 4:23 Jihadhari basi; kwani BWANA amekuchagua wewe ili ujenge nyumba itakayokuwa mahali patakatifu; uwe hodari ukatende hivyo.

    14ya dhahabu kwa uzani kwa vyombo vya dhahabu, kwa vyombo vyote vya utumishi wa kila namna; ya fedha kwa uzani kwa vyombo vyote vya fedha, kwa vyombo vyote vya utumishi wa kila namna;

    16Kut 25:23;1 Fal 7:48;2 Nya 4:8 na dhahabu kwa uzani kwa meza za mikate ya wonyesho, kwa kila meza; na fedha kwa meza za fedha;

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo