Pular para o conteúdo
Publicidade

Eclesiastes 11

Thamani ya kuwa na bidii

1 Kum 15:10;Mit 11:18;Mt 10:42;2 Kor 9:6Tupa chakula chako juu ya maji;

Maana utakiona baada ya siku nyingi.

2 Zab 112:9;Lk 6:30;Mik 5:5;Efe 5:16Uwagawie sehemu watu saba, hata wanane;

Maana hujui baa gani litakalokuwa juu ya nchi.

Veja também