Publicidade

Eclesiastes 12

1 Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako,

Kabla hazijaja siku zilizo mbaya,

Wala haijakaribia miaka utakaposema,

Mimi sina furaha katika hiyo.

2 Kabla jua, na nuru, na mwezi,

Na nyota, havijatiwa giza;

Kabla ya kurudi mawingu baada ya mvua;

3 Zab 71:9;Zek 8:4;2 Kor 5:1;Mwa 27:1Siku ile walinzi wa nyumba watakapotetemeka;

Hapo wenye nguvu watakapojiinamisha;

Na wasagao kukoma kwa kuwa ni haba;

Na hao wachunguliao madirishani kutiwa giza;

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-