Pular para o conteúdo
Publicidade

Filipenses 2

Kuiga unyenyekevu wa Kristo

1 Basi ikiwako faraja yoyote katika Kristo, yakiwako matulizo yoyote ya mapenzi, ukiwako ushirika wowote wa Roho, ikiwako huruma yoyote na rehema, 2 ijalizeni furaha yangu, ili muwe na nia moja, wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, mkiwaza mamoja.

Veja também

Filipenses
Ver todos os capítulos de Filipenses