Pular para o conteúdo
Publicidade

Filipenses 2

9 Mdo 2:33;Efe 1:21;Ebr 1:3,4Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; 10 Isa 45:23;Yn 5:23;Ufu 5:13ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; 11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.

Veja também

Filipenses
Ver todos os capítulos de Filipenses