16 BWANA Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, "Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, 17 Lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika."
Publicidade
16 BWANA Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, "Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, 17 Lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika."