Pular para o conteúdo
Publicidade

Mwanzo 40

6 Yusufu akawajia asubuhi, akawaona wamefadhaika.

7 Akawauliza hao maofisa wa Farao, waliokuwa pamoja naye katika kifungo, nyumbani mwa bwana wake, akisema, Mbona nyuso zenu zimekunjamana leo?

Veja também