Wito wa kuwa Wavumilivu
19 Mt 27:51Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu, 20 Ebr 9:8njia ile aliyotuanzia iliyo mpya, iliyo hai, ipitayo katika pazia, yaani, mwili wake; 21 Zek 6:11;Hes 12:7na kuwa na kuhani mkuu juu ya nyumba ya Mungu; 22 Law 8:30;Eze 36:25;Efe 5:26na tukaribie wenye moyo wa kweli, kwa utimilifu wa imani, hali tumenyunyiziwa mioyo tuache dhamiri mbaya, tumeoshwa miili kwa maji safi.