Publicidade

Hebreus 10

35 Ebr 11:6Basi msiutupe ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kuu. 36 Ebr 6:12;Lk 21:19Maana mnahitaji saburi, ili kwamba mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu mpate ile ahadi.

37 Hab 2:3-4;Isa 26:20;Lk 21:28;Yak 5:8Kwa kuwa bado kitambo kidogo sana,

Yeye ajaye atakuja, wala hatakawia.

38 Rum 1:17;Gal 3:11Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani;

Naye akisitasita, roho yangu haina furaha naye.

39 Lakini sisi hatumo miongoni mwao wasitao na kupotea, bali tumo miongoni mwa hao walio na imani ya kutuokoa roho zetu.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-