Pular para o conteúdo
Publicidade

Waraka kwa Waebrania 12

22 Ufu 14:1;21:2;5:11;Gal 4:26Bali ninyi mmeufikia mlima Sayuni, na mji wa Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni, na majeshi ya malaika elfu nyingi, 23 Lk 10:20mkutano mkuu na kanisa la wazaliwa wa kwanza walioandikwa mbinguni, na Mungu mwamuzi wa watu wote, na roho za watu wenye haki waliokamilika,

Veja também