5 Ayu 5:17;Mit 3:11-12tena mmeyasahau yale maonyo, yasemayo nanyi kama kusema na wana,
Mwanangu, usiyadharau maonyo ya Bwana,
Wala usife moyo ukiadhibiwa naye;
6 Ufu 3:19Maana yeye ambaye Bwana ampenda, humuonya
Naye humpiga kila mwana amkubaliye.
5 Ayu 5:17;Mit 3:11-12tena mmeyasahau yale maonyo, yasemayo nanyi kama kusema na wana,
Mwanangu, usiyadharau maonyo ya Bwana,
Wala usife moyo ukiadhibiwa naye;
6 Ufu 3:19Maana yeye ambaye Bwana ampenda, humuonya
Naye humpiga kila mwana amkubaliye.