Imani na shangwe katika shida
17 2 Kor 4:8,9Maana mtini hautachanua maua,
Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda;
Taabu ya mzeituni itakuwa bure,
Na mashamba hayatatoa chakula;
Zizini hamtakuwa na kundi,
Wala vibandani hamtakuwa na kundi la ng’ombe;
18 Zab 42:5;Isa 61:10Walakini nitamfurahia BWANA
Nitamshangilia Mungu wa wokovu wangu.